Ukurasa mmoja, Ujumbe sahihi, Mauzo zaidi
Ukurasa mmoja, Ujumbe sahihi, Mauzo zaidi
Tunawasaidia wauzaji wa bidhaa za afya na biashara nyingine kuongeza mauzo kupitia ukurasa mmoja unaouza. (Landing Page)
📌 Landing Page ni Nini?
ni ukurasa maalum wa mtandao unaotengenezwa kwa lengo moja tu — kumfanya mgeni achukue hatua.
Hatua hiyo inaweza kuwa:
✔ Kununua bidhaa
✔ Kutuma ujumbe WhatsApp
✔ Kujaza fomu
✔ Kuacha namba ya simu
kwa maana nyingine Landing Page ni kama ukurasa huu unaosoma wewe hapa sasahivi
Tofauti na website ya kawaida yenye kurasa nyingi, Landing Page huwa na lengo moja tu — kuuza.
Kwa kifupi: Landing Page hubadilisha mgeni kuwa mteja.
🤔 Kwa Nini Usimpeleke Mteja WhatsApp Moja kwa Moja?
Wafanyabiashara wengi wa bidhaa za afya hufanya kosa hili:
❌ Wanapeleka mteja WhatsApp moja kwa moja
❌ Hakuna maelezo ya kutosha
❌ Hakuna ushahidi wa matokeo
❌ Hakuna kujenga uaminifu
Matokeo yake?
Mteja anauliza maswali mengi au anaishia kupotea bila kununua.
✅ Suluhisho ni Kuwa na Landing Page ya Kitaalamu kwasababu
✔ Inatoa maelezo kamili ya bidhaa
✔ Inaonyesha ushuhuda wa wateja
✔ Inaondoa mashaka
✔ Inajenga uaminifu
✔ Inamfanya mteja afanye maamuzi haraka
Na hapo ndipo Mdy Ads tunaingia.
🎯 Tunachokufanyia Tunakuundia Landing Page Maalumu kwa wauzaji wa:
✔ Bidhaa za afya & Tiba asili.
✔ Virutubisho (supplements)
✔ Bidhaa za afya za wanawake
✔ Huduma ya fumigation
✔ Bidhaa za Urembo.
✔ Bidhaa za kuongeza nguvu
Mdy_Ads Tutakutengenezea ukurasa kama huu Utakaonesha na kuelezea bidhaa au huduma yako unayotoa na tutaielezea vizuri na kujibu maswali yote ya mteja wako na kumfanya aelewe juu ya bidhaa au huduma yako unayotoa na afanye maamuzi ya kununua kwako
Landing Page yako itakuwa:
✅ Ya kitaalamu
✅ Rahisi kusoma
✅ Inayovutia
✅ Inayobadilisha wasomaji kuwa wateja
💰 Vifurushi vya Huduma Nayotoa Kwa Mwezi wa kwanza
Hapa tunavifulushi viwili ambavyo
(1) Landing Page Pro– Tsh.150,000/=
kwa biashara zinazotaka ukurasa unaouza bila usimamizi wa ads.
pia hiki kinafaa kama tayari unasponsor ila huna ukurasa inaofunga mauzo vizuri.
Landing page ya kisasa
Copywriting ya kushawishi
CTA kali(whatsapp/ call)
Time Counter ya ofa
Mobile Friendly (inaonekana vizuri kwenye simu)
Marekebisho mara 2 kwa mwezi
Utapata JinaLaBiasharaYako.com hii itakusaidia kujenga uaminifu kwa wateja wako (itadumu mwaka mzima)
(2) Landing Page + Account Management(Premium Growth) – Tsh.220,000/=
kwa biashara zinazotaka mauzo ya uhakika na usimamizi wa kitaalamu
Landing Page optimized kwa conversion
Usimamizi wa Instagram na Facebook Ads
Audience targeting & retargeting
Marekebisho ya landing page muda wote
ushauri wa kuongeza sales.
Utapata JinaLaBiasharaYako.com hii itakusaidia kujenga uaminifu kwa wateja wako (itadumu mwaka mzima)
Mwezi unaofata Gharama itakua Tsh.100,000/= kwasababu kazi itakua ni kusimamia matangazo katika account zako tu (fb & instagram)
Landing Page usimamizi ni BURE mwaka mzima.
kifurushi cha kwanza kinakupa ukurasa unaouza na kifurushi cha pili kinakupa mfumo mzima wa kukuletea wateja kila siku.
⭐ Kwa Nini Uchague Mdy Ads?
✔ Tunaelewa soko la bidhaa za afya
✔ Tunajua saikolojia ya mteja wa mtandaoni
✔ Tunasaidia kuongeza mauzo bila kuongeza gharama ya matangazo
✔ Tunakusaidia kupunguza kupoteza pesa kwenye Ads
🎁 Bonus Maalum Ukifanya kazi nasi unapata:
ukaguzi wa account zako za facebook & instagram
Ushauri wa Ads Strategy
Muundo wa ujumbe wa WhatsApp
Ushauri wa kuongeza conversion rate
Usipoteze Pesa Kwenye Matangazo Yasiyoleta Mauzo
Matangazo yanaweza kuleta watu wengi Lakini Landing Page ndiyo inawaleta kwenye uamuzi wa kununua.
🟢 Wasiliana na Mdy Ads sasa tukutengenezee Landing Page yako uuze kiPROFESSIONAL
Bonyeza hapa chini Tuanze kazi Sasa
Hii ni fursa ya kuifanya Biashara yako ikue kitaalamu
ukifanya Ads mwaka mzima bila landing page nzuri unapoteza zaidi ya 40% ya wateja wanaotembelea , Ukiwa na ukurasa unaouza unabadili traffic kuwa pesa.
Kuhusu Mimi
Mimi ni Mtaalamu wa matangazo ya mitandao ya kijamii ninayesaidia biashara kupata wateja wengi na kujenga jina la biashara
NA HIZI NI BAADHI YA KAZI NILIZOFANYA
''asante sana Mdy Ads kwa kunitengenezea ukurasa huu umenisaidia kuelezea bidhaa yangu na umekua unanipunguzia baadhi ya maswali ambayo ningeulizwa na wateja lkn ukurasa huu umelimaliza ilo'' Dr Mercy
''asante sana ukurasa huu umenisaidia kuongeza mauzo ya huduma yangu ninayotoa'' Dr Mary
Mpaka Sasa unachaguo mbili
Aidha ukubali uendelee kuwaleta wateja wako Whatsapp na ujibu maswali kila mtu na lake na washie kukuuliza na kuondoka au
Uniambie nikutengenezee ukurasa kama huu wa mauzo unaomjibu wateja wako hata kipindi wewe umelala au unafanya kazi nyingine.
Ni Mimi Mtaalamu wako Saidi Said kutoka Mdy Ads, karibu sana nikuhudumie